Thursday, 31 October 2013

BAADHI YA MASTAR WA BONGO WALIOJITOKEZA JANA KWENYE MSIBA WA BABA WA SUPER STAR WEMA SEPETU!!



Mastaa na marafiki wa karibu na Muigizaji  Wema Sepetu wamejitokeza kwa wingi katika hali ya Kumfariji kutokana na kufiwa na baba yake mzazi Balozi ISAAC ABRAHAM SEPETU aliyefariki jana kwa maradhi ya Kupooza aliyougua kwa Muda Mrefu.
Msiba upo sinza Mori Nyumbani Kwa Familia Ya Marehemu na marehemu anatarajia kusafirishwa kesho kwa mazishi huko Zanzibar
wpid-IMG-20131028-WA0003.jpg
Mjane wa marehemu Mama yake Wema Sepetu wa katikati kabisa
wpid-IMG-20131028-WA0002.jpg
Wema Sepetu wa kushoto akiwa na waombolezaji wengine
wpid-IMG-20131028-WA0000.jpg
Tunu Sepetu Mtoto wa marehemu wakati kati kabisa
wpid-IMG-20131028-WA0005.jpg
Kutoka Kushoto ni Msanii ElizaBeth Michael (Lulu) akifuatiwa na mama wa Msanii Marehemu Kanumba
wpid-IMG-20131028-WA0008.jpg
Msanii wa Maigizo Kajala pia yupo msibani
wpid-IMG-20131028-WA0009.jpg
Junaithar Pemba na Director Johanna marafiki wa karibu na Wema Sepetu
wpid-IMG-20131028-WA0007.jpg
Muandishi wa Gazeti la Kiu Emelda Msibani mtarajia mengi ya udaku kutoka huko, anakazi mbili hapo.

No comments:

Post a Comment